Msigwa Ataja Chanzo Cha Ugomvi Chadema, “Kuna Bwana Mkubwa Amejimilikisha Chama

 Msigwa Ataja Chanzo Cha Ugomvi Chadema, “Kuna Bwana Mkubwa Amejimilikisha Chama – Video

Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa chama cha CCM ni chama kinachoongoza kwa kutekeleza ilani barani Afrika na hilo linapelekea wananchi kukiamini chama hicho na kukichagua mara zote.

Msigwa amezungumza hayo akizungumza na wahabari Disemba 09, 2024.


>>>>>>>>>BOFYA HAPA KUTAZAMA VIDEO<<<<<<<<

Comments

Popular posts from this blog

NEMC:Zifahamu fursa zilizopo kwenye taka

APPLICATIONS hizi HAPA haziruhusiwi kutoa mikopo mtandaoni

Geofrey Kiliba, rais mpya wa TAHLISO