Wanawake wawili wakamatwa wakiwa watupu katika Madhabahu ya KKKT Hai

 

Wanawake wawili wakamatwa wakiwa watupu katika Madhabahu ya KKKT Hai
Picha: Mpigapicha Wetu
Wanawake wawili wakamatwa wakiwa watupu katika Madhabahu ya KKKT Hai

Wanawake wawili wanaodhaniwa kuwa washirikina wamekamatwa alfajiri hii wakiwa watupu katika madhabahu ya Kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro.

Tukio hili limeleta taharuki kubwa baada ya wanawake hao kudai walitumwa kuchukua ulimi wa marehemu aliyezikwa hivi karibuni katika makaburi ya usharika.

Polisi wamesema uchunguzi unaendelea na wanawake hao wanashikiliwa kwa uchunguzi zaidi.

Mwinjilisti wa Usharika wa Nkwarungo, Jeremiah Nkya, alisema walinzi walikamata wanawake hao wakiwa na mabunda ya vitu visivyoeleweka.


chanz:nipashe

Comments

Popular posts from this blog

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi yatangaza nafasi za kazi za watendaji wa uchaguzi Tanzania Zanzibar

Geofrey Kiliba, rais mpya wa TAHLISO

Watia nia CHADEMA 55, waibuka na hoja tisa kuhusu ‘no reforms no election’