Nay Atinga Basata na Mwanasheria Wake, Atuhumiwa Kwa Makosa 4, Apewa Siku 7 Kujitetea..

 



Msanini wa muziki wa Hiphop hapa nchini, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ leo, Ijumaa Septemba 26, 2024 ametinga kwenye ofisi za Basata kwa ajili ya kuitikia wito wa Baraza hilo kufuatia wimbo wake wa ‘Nitasema’ aliouachia hivi karibuni

Akiwa ameongozana na Wakili wake Jebra Kambole, msanii huyo amezungumza na wanahabari kuhusiana na kile kilichojitokeza

Chanzo: globalpublishers

Comments

Popular posts from this blog

WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2025 MAJINA HAYA HAPA.

TAZAMA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024.