CHADEMA kuwapokea tena waandamizi waliowahi kukimbia chama

PICHA: MTANDAO
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), kimesema katika ziara hiyo ambayo itaanzia Kanda ya Nyasa kwa kuanzia mkoa wa Mbeya, kinatarajia kupokea wanachama wapya na miongoni mwao ni waliokuwa wanachama waandamizi wa chama hicho.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Amani Golugwa wakati akizungumza na waaandishi wa habari kutangaza kuanza ziara hizo ambayo alisema inatarajiwa kuchukua siku 47 mpaka mwanzoni mwa Mei mwaka huu.
Comments
Post a Comment