WACHEZAJI WATATU SINGIDA BLACK STARS WAPEWA URAIA NA UHAMIAJI

 

Wachezaji watatu wa Singida big stars ambao ni 

  1. EMMANUEL KWAME KEYEKEH
  2. JOSEPHAT ARTHUR BADA
  3. MUHAMED DAMARO CAMARA,
Ambao waliomba nz wamepewa uraia kwa mujibu wa vifungu vya 9 na 23 vya sheria ya uraia ya Tanzania , sura ya 357.

Kwa muktadha huo kama taarifa ilivyovyotolewa na Idara ya uhamiaji  watajwa hapo juu ni Raia wa TANZANIA KWA TAJNISI.


Comments

Popular posts from this blog

NEMC:Zifahamu fursa zilizopo kwenye taka

APPLICATIONS hizi HAPA haziruhusiwi kutoa mikopo mtandaoni

Geofrey Kiliba, rais mpya wa TAHLISO