TUNDUMA YATANGAZA KAZI YA MKATABA,(UKUSANYAJI MAPATO)

 


Mkurugenzi wa halmashauri ya mji Tunduma , Anawatangazia wananchi wote wenye sifa zilizoanzishwa kwenye Tangazo kuomba kazi ya kukusanya mapato (karani) katika halmashauri ya mji Tunduma.

Comments

Popular posts from this blog

NEMC:Zifahamu fursa zilizopo kwenye taka

APPLICATIONS hizi HAPA haziruhusiwi kutoa mikopo mtandaoni

Geofrey Kiliba, rais mpya wa TAHLISO