TAZAMA HAPA MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kujipima ya darasa la nne na kidato cha pili ambapo matokeo ya jumla yanaonesha kuongezeka kwa ufaulu kwa mitihani hiyo.
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limesema jumla ya wanafunzi 1,320,227 kati ya wanafunzi 1,530,911 waliofanya mtihani wa Darasa la Nne, sawa na asilimia 86.24 wamefaulu kwa kupata madaraja A, B, C na D ikiwa ni ongezeko la asilimia 2.9.
NECTA imesema kati ya waliofaulu, wasichana ni 699,901 sawa na asilimia 53, na wavulana ni 620,326 sawa na asilimia 47.
>>>>>>>>>>>>BOFYA HAPA KUTAZAMAMATOKEO YA DARASA LA NNE<<<<<<<<<<<
Comments
Post a Comment