Sumaye ataja yanayochangia kuvuruga amani ya uchaguzi

 





Dar es Salaam. Ikiwa imebaki miezi takribani tisa kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye ametaja mambo matano yanayoweza kuchangia kuvuruga amani katika uchaguzi huo. 

Akizungumza na Mwananchi mwishoni mwa wiki iliyopita kujua anachokiona kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2025, Sumaye amesema mambo hayo yana histori ya kuchafua amani kwenye chaguzi nyingi za Afrika, huku akisisitiza Tanzania kuyaepuka kama uonevu baina ya mgombea na mgombea au chama na chama. 


Chanzo: mwananchi.

Comments

Popular posts from this blog

NEMC:Zifahamu fursa zilizopo kwenye taka

APPLICATIONS hizi HAPA haziruhusiwi kutoa mikopo mtandaoni

Geofrey Kiliba, rais mpya wa TAHLISO