KLABU YA SIMBA YAWAOMBEA URAIA WACHEZAJI WAKE 9 TISA

 Klabu ya Simba imewaombea uraia wa Tanzania wachezaji wake 9 ambao sio raia wa Tanzania. Simba SC imemuandikia Kamishina Jenerali wa Uhamiaji barua leo tarehe 23 Januari 2025, barua ambayo imesainiwa na Mwenyekiti wa klabu Murtaza Ally Mangungu






Comments

Popular posts from this blog

NEMC:Zifahamu fursa zilizopo kwenye taka

APPLICATIONS hizi HAPA haziruhusiwi kutoa mikopo mtandaoni

Geofrey Kiliba, rais mpya wa TAHLISO