KLABU YA SIMBA YAWAOMBEA URAIA WACHEZAJI WAKE 9 TISA
Klabu ya Simba imewaombea uraia wa Tanzania wachezaji wake 9 ambao sio raia wa Tanzania. Simba SC imemuandikia Kamishina Jenerali wa Uhamiaji barua leo tarehe 23 Januari 2025, barua ambayo imesainiwa na Mwenyekiti wa klabu Murtaza Ally Mangungu
Comments
Post a Comment