Gambo amjibu Makonda sakata la Barabara Arusha


Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo.

MBUNGE wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ametoa ufafanuzi wa sakata lililoibuka jana baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda kumrushia maneno kwamba ametoa malalamiko ya kutaka kujengwa barabara ambayo imekuwa changamoto kwa wananchi huku Makonda akimkosoa kwamba suala hilo lilisha jadiliwa kwenye vikao vya ndani.

CHANZO: NIPASHE

Comments

Popular posts from this blog

Mbinu 11 Za Jinsi Ya Kumtongoza Mwanamke Kwa Njia Ya Kuvutia

APPLICATIONS hizi HAPA haziruhusiwi kutoa mikopo mtandaoni

CHADEMA hatarini kufutiwa usajili