LISSU ATANGAZA KUWANIA NAFASI YA MBOWE
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA BARA, TUNDU LISSU Ametangaza kugombea nafasi ya UENYEKITI wa CHADEMA taifa Ambayo kwa sasa inashikiliwa na FREEMAN MBOWE.
Akitangaza azma hiyo leo tarehe 12-12-2024, amesema
"kwa sasa mimi ni Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Lakini pia nimewahi kuwa Rais wa TLS, wakili na mwanaharakati na mtetezi wa wananchi na nafasi nyingine kwa sababu zote hizi naamini wanachama wenzangu mnaamini nina sifa ya kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa"
chanzo:millardayo
Comments
Post a Comment