Diamond Platnumz Afunguka: Poze Alitafuta Kiki Akapotezewa Vibaya

 Diamond Platnumz Afunguka: Poze Alitafuta Kiki Akapotezewa Vibaya



Diamond Platnumz, ameibuka na kukanusha madai ya ubaguzi yaliyotolewa dhidi yake baada ya kushindwa kutumbuiza katika show ya hivi karibuni nchini Kenya. Kupitia mtandao wa Instagram, Diamond amesema waandaaji wa tamasha hilo hawakufanya ubaguzi kwa wasanii wa Kenya, akiwataja Khaligraph Jones na wengine waliotoa burudani ya hali ya juu.


@DiamondPlatnumz amedai kuwa madai hayo ni juhudi za kutengeneza "kiki" ili kumhusisha yeye kwenye mijadala na kutafuta huruma za wanadamu. Pia, ameahidi kutoa taarifa rasmi kuhusu kilichotokea, kuelezea sababu za kutofanikisha kutumbuiza kwake

Comments

Popular posts from this blog

NEMC:Zifahamu fursa zilizopo kwenye taka

APPLICATIONS hizi HAPA haziruhusiwi kutoa mikopo mtandaoni

Geofrey Kiliba, rais mpya wa TAHLISO