Skip to main content

WACHEZAJI AL AHLY TRIPOLI WAKATWA MISHAHARA MIEZI MIWILI KISA SIMBA




Al Ahly Tripoli ya libya wameamua kuwakata mishahara ya miezi miwili wachezaji wao kufuatia matokeo mabovu ya hivi karibuni ikiwa ni pamoja na kuondoshwa kwenye kombe la Shirikisho na klabu ya Simba ya Tanzania
.
Kabla ya tukio hili la kukata mishahara kwa wachezaji bodi ya Al Ahly Tripoli iliwafuta kazi makocha wake wote mapema baada ya kutolewa na Simba kwenye kombe la shirikisho.

Comments

Popular posts from this blog

Tume huru ya uchaguzi yabaini watu kujiandikisha zaidi ya mara moja

Wanawake wawili wakamatwa wakiwa watupu katika Madhabahu ya KKKT Hai

Jiji la Mbeya kugawanywa kuwa majimbo mawili ya uchaguzi